Mfanyabiashara wa Kenya aliyetekwa siku nane zilizopita, amepatikana mjini Mombasa akiwa hai/ Ongezeko maradufu la idadi ya wakimbizi wanaoingia Uganda kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo/ Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakaribia kuafikiana juu ya uongozi/ Nahodha asubiri hukumu nchini Italia baada ya kuwekwa kizuizini kwa kosa la kutia nanga katika bandari moja ya nchi hiyo bila idhini