Vyama ndugu vya CDU CSU vyakabwa na mzozo wa wahamiaji/ Viongozi wa Umoja wa Afrika wakutana Nouakchott/ Obrador ashinda urais Mexico/ Uganda: Enzi mpya ya kulipa kodi ya moja kwa moja ya kutumia mitandao ya kijamii/ Tanzania: Wizara ya mambo ya ndani imetangaza kufunga mpaka kuzuia wakimbizi wapya wa Burundi kuingia/ Kombe la Dunia 2018