1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.06.2021 - Matangazo ya Asubuhi

2 Juni 2021

Uganda: Wimbi jipya la maambukizi ya COVID-19 latishia shughuli za elimu /Kampuni ya Pfizer yatarajiwa kutengeza dawa za kuzuia kuenea kwa virusi vya COVID-19/ Chama cha Wakimbizi wa Rwanda nchini Msumbiji chalaani kutoweka kwa mwandishi wa habari Ntamuhanga Cassien/ Majeshi duniani yatakiwa kupunguza utoaji wa gesi ya kaboni/ Wanasiasa na maafisa wa Tunisia waaonya kuhusu uchumi kuporomoka

https://p.dw.com/p/3uJlO