Trump atishia kuwatumia jeshi kudhibiti waandamanaji/ Yemen: Saudi Arabia leo hii imeitisha mkutano wa wafadhili ikishirikiana na Umoja wa Mataifa/ Kenya yahamishia uchukuzi wa mizigo Naivasha/ Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameachia usafiri wa umma kuanza tena nchini humo/ Watu mashuhuri 225 wataka mataifa tajiri kusaidia masikini/