Uganda: Bobi Wine amekanusha kuwa na mahusiano yoyote na ujumbe unaosambazwa ukiwataka Waganda washiriki mgomo wa siku tano/ Wanaharakati wa haki za binadamu wametoa mwito kwa serikali ya Uganda kuifungua mitandao ya kijamii/ Hali ya kisiasa Tanzania/ Umoja wa Ulaya umetishia kuliwekea vikwazo jeshi la Myanmar/ Kesi dhidi ya Navalny imeanza huko Moscow