Mahakamu kuu nchini Tanzania Divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi, imetupilia mbali mapingamizi ya jopo la mawakili wa chama cha upinzani CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu/ Ujumbe wa kidiplomasia wa Qatar umewasili mjini Kabul kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa Taliban/ WHO yafungua kituo kipya cha kufwatilia magonjwa ya milipuko