1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.08.2018 Taarifa ya habari asubuhi

1 Agosti 2018

Serikali ya Zimbabwe yawaonya wagombea wa uchaguzi dhidi ya kutangaza mapema matokeo // Facebook yamesema imegundua kampeni mpya ya kuingilia uchaguzi wa bunge nchini Marekani // Na Chama tawala Afrika Kusini kitafanya marekebisho ya katiba ili kuruhusu kutwaliwa mashamba ya wazungu

https://p.dw.com/p/32PRe