1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.07.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S1 Julai 2020

Chama Cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania kimefungua rasmi pazia kwa wanachama wake wanaotaka kuwania ubunge// Afrika itakuwa mada kuu wakati Ujerumani baada ya kuchukua urais wa Umoja wa Ulaya wa kupokezana Julai mosi// Ethiopia- Watu wauawa na maandamano yaenea kwenye miji kadhaa// Macron: Ulaya itaendeleza mapambano ya ugaidi eneo la Sahel// HRW: Malawi ihakikishe haki za binaadamu.

https://p.dw.com/p/3ed0L