1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.06.2021 - Matangazo ya Asubuhi

1 Juni 2021

Kenya inaadhimisha miaka 58 ya uhuru wake kutoka ukoloni wa Uingereza+++Wanaharakati wa masuala ya Katiba nchini Tanzania wamesema suala la upatikanaji wa katiba mpya si matakwa ya viongozi bali ni hitaji la wananchi+++Ujerumani hivi karibuni iliomba radhi kwa mauaji ya kimbari dhidi ya jamii za Waherero na Wanama wa nchini Namibia.

https://p.dw.com/p/3uFRC