Maandamano ya siku ya tano mfululizo yamefanyika nchini Marekani// Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameashiria kufanyika kwa marekebisho kwenye katiba ya taifa hilo kabla ya kipindi chake cha uongozi kukamilika// COVID-19- Zanzibar yapunguza masharti yake ikiwemo kufunguwa baadhi shule kuanzia leo// DR Congo-.Miaka kumi baada ya kifo cha mtetezi wa haki za binadamu, Floribert Chebeya.