1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.05.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S1 Mei 2018

Leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha mchango wa wafanyakazi kwenye maendeleo ya kijamii, kitaifa na kimataifa mashuhuri kama Mei Mosi// Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema ana uthibitisho mpya kuhusiana na mpango wa silaha za nyukilia wa Iran// Bunge la Kongo limepitisha msuada wa sheria ya ugawanyaji viti bungeni na kwenye bunge za majimbo.

https://p.dw.com/p/2wxcY