Rais wa Tanzania, John Magufuli leo amezungumza na mamia wa wafanyakazi nchini humo// Wafanyakazi nchini Kenya wanashusha pumzi baada ya serikali kuamuru wapewe nyongeza ya 5% ili kukiongeza kima cha chini cha mshahara// Kiongozi wa upinzani wa Armenia, Nikol Pashinyan, amewahimiza wafuasi wake kuandamana ili kulishinikiza bunge kumchagua yeye kuwa Waziri mkuu mpya wa taifa hilo.