Upinzani Tanzania wamuomba rais Samia kusimamia demokrasia/ Miongoni mwa mabadiliko ambayo ameyafanya Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi wa mtangulizi wake Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge/ Wanamgambo wa Ethiopia walaumiwa kwa mashambulio ya kigaidi eneo la Magharibi/ Biden atangaza mpango wa kuimarisha miundo mbinu Marekani