Othman Masoud Othman ameteuliwa kuwa makamo wa kwanza wa rais Zanzibar/ Ubadhirifu wa huduma za dawa katika hospitali za mikoa Tanzania/ Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amehukumiwa na kifungo cha miaka mitatu/ Umoja wa Mataifa unakusudia kuchangisha dola bilioni 3.85 katika mkutano wa kimataifa wa wafadhili ili kuwaokoa mamilioni ya watu wa Yemen wanaokabiliwa na baa la njaa