1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.03.2019 Matangazo Ya Mchana

SK2 / S02S1 Machi 2019

Mahakama ya rufani nchini Tanzania imefutilia mbali rufaa iliowasilishwa na upande wa serikali kupinga mahakama kuu kusikiliza hati ya dharura ya rufaa ya mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Freeman Mbowe// Waziri wa afya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Dr Oly Ilunga, amekamilisha ziara yake katika mji wa Butembo.

https://p.dw.com/p/3EJLA