1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.01.2018 Matangazo ya Mchana

Caro Robi
1 Januari 2018

Watu kote duniani waukaribisha mwaka 2018 kwa Sherehe na matumaini // Kansela wa ujerumani Angela Merkel ameahidi kuboresha maisha ya Wajerumani wa tabaka tofauti mwaka 2018// Umoja wa Mataifa wamtaka Rais wa Congo Joseph Kabila kuachia madaraka baada ya Watu 8 wauawa katika maandamano jana

https://p.dw.com/p/2qBNp