Tanzania: Mchakato wa kumpata spika mpya wa Bunge umepamba moto> Mahojiano/ Mvutano umeibuka kati ya utawala wa kijeshi nchini Mali na ECOWAS> Mahojiano/ Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na Urusi wamefanya mazungumzo muhimu/ Putin adai ushindi katika kulinds Kazakshtan dhidi ya uasi/ Myanmar: Mahakama ya kijeshi imemuhukumu Aung San Suu Kyi kifungo cha miaka minne zaidi gerezani