1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziara ya Rais wa China Xi Jinping nchini Tanzania

25 Machi 2013

Rais wa China, Xi Jinping, ametambulisha sera ya nchi yake kuelekea bara la Afrika akisisitiza kuwa pande hizo mbili zitaendelea kutegemeana katika nyanja zote.

https://p.dw.com/p/183d8
Rais Xi Jinping akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Xi Jinping akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho KikwetePicha: Reuters

Rais huyo ametumia jukwaa la Tanzania kujitambulisha kwa Afrika ikiwa ni chini ya mwezi mmoja tangu achukue wadhifa huo.

Kutoka Dar es Salaam, George Njogopa anaarifu zaidi na kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: George Njogopa

Mhariri: Mohammed Khelef

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi