1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wavuna mchanga Kivu Kaskazini

29 Septemba 2021

Kutana na wanawake wanaofanya biashara ya kuvuna mchanga huko Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Ni kazi ngumu kwao lakini wanaifanya kwa moyo mmoja ili kukidhi mahitaji ya familia zao. Video na Benjamin Kasembe

https://p.dw.com/p/412tz