1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wanaojihusisha na ufugaji samaki Pwani ya Kenya

Tatu Karema
16 Novemba 2022

Kazi ni kazi ndio msemo wa wengi. Kutana na wanawake wa kikundi cha Baraka Conservation kutoka eneo la Kusini mwa Pwani ya Kenya waliobobea katika ufugaji samaki na upanzi wa mikoko kwenye fukwe za bahari ili kuhifadhi mazingira. Unazungumzia vipi juhudi kama hizi? Tazama video iliyotayarishwa na Fathiya Omar. #Kurunzi 16.11.2022

https://p.dw.com/p/4JbNo