Asili na mazingiraWanalenga kutimiza ndoto zao maishani licha ya changamoto zinazowakabiliTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAsili na mazingiraJohn Juma19.11.201819 Novemba 2018Licha ya baadhi yao kuacha masomo mapema kwa sababu ya hali ngumu ya kiuchumi, sasa wametambua kuwa wana vipaji vya ubunifu na wanaweza kutumia kidogo kilichoko ili kupata kingi na hatimaye kufikisha ndoto zao za maishani.https://p.dw.com/p/38XskMatangazo