JamiiAfrikaWanafunzi wabunifu wa mboleaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrika04.08.20214 Agosti 2021Kutana na wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya Sekondari Mikindani huko mkoani Mtwara -Tanzania waliofanya utafiti wa Kisayansi na kufanikiwa kugundua mbolea ya asili inayotokana na tangawizi, mdalasini na mwarobaini. Video na Salma Mkalibala. https://p.dw.com/p/3yWk9Matangazo