Wapiga kura kwenye majimbo 14 nchini Marekani Jumanne wanamchagua mgombea atakayepeperusha bendera ya chama cha Democratic katika uchaguzi wa urais wa mwezi Novemba katika kile kinachofahamika kama Super Tuesday au Jumanne Kabambe. Hali ikoje na kipi cha kutarajiwa?