1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wa Kivu wakumbatia kilimo badala ya madini

19 Aprili 2021

Baadhi ya vijana ambao walikuwa katika makundi ya wapiganaji jimboni Kivu ya Kaskazini,hivi sasa wamekumbatia sekta ya kilimo badala ya madini au kujiunga na makundi ya wapiganaji. Huko mkaoni Masisi,vijana hawa wamejishughulisha na kilimo cha mahindi.

https://p.dw.com/p/3sEba