You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Tatu Yahaya
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Tatu Yahaya
Taarifa na Tatu Yahaya
Msichana jasiri aliyejitosa fani ya kuchomelea vyuma
Msichana jasiri aliyejitosa fani ya kuchomelea vyuma
Katika umri wa miaka 19, Sharifa Karim amekuwa msichana hodari na jasiri katika fani ya uchongaji na uchomeleaji vyuma. Anasema haikuwa rahisi wakati alipoanza kutokana na fani hii kuwa na idadi kubwa ya wanaume lakini anaona ufahari kuifanya kazi hii. #msichanajasiri
Neema Athuman: Muigizaji mdogo wa Tanzania
Neema Athuman: Muigizaji mdogo wa Tanzania
Neema Athuman: Muigizaji mdogo wa Tanzania
Fahamu maudhui yanayowavutia wasichana mitandaoni
Fahamu maudhui yanayowavutia wasichana mitandaoni
Wasichana wamekuwa na matumizi mbalimbali ya mitandao ya kijamii lakini wengi wao hukumbana na changamoto nyingi, ambazo wengine huwaachia alama mbaya, ni kipi hasa wanatakiwa kujifunza kabla ya kuingia katika ulimwengu wa kidijitali ?
Fahamu namna ambavyo mionzi dawa inavyotengenezwa Tanzania
Fahamu namna ambavyo mionzi dawa inavyotengenezwa Tanzania
Cyclotron Kiube ni aina Mionzi dawa ambayo hutumika katika uchunguzi wa awali wa saratani kwa kupiga picha kwa kutumia PET-CT Scan ili kujua hatua ya saratani na kumsadia mtaalamu kujua ni aina gani ya dawa ambayo itakua na msaada kwa mgonjwa.
Hedhi salama bado ni changamoto kwa wasichana
Hedhi salama bado ni changamoto kwa wasichana
Hapo kabla ilikua ni nadra kulizungumzia suala la hedhi hadharani lakini muda inavyozidi mambo kuwekwa wazi hili linawapa nafasi wasicha kuzungumza suala hili kwa uwazi zaidi. #MsichanaJasiri
AI huathiri vipi maendeleo ya akili ya binadamu?
AI huathiri vipi maendeleo ya akili ya binadamu?
Akili ya kubuni (AI) imeendelea kukuwa na hata kutumika katika sekta mbalimbali ikiwemo rasmi na zile ambazo si rasmi. Kundi la wanafunzi nalo halijabaki nyuma, wanatumia teknolojia hii pia. Lakini lipo kundi ambalo lina wasiwasi kwamba matumizi yaliokithiri ya akili ya kubuni yanaweza kuhatarisha maendeleo ya akili ya binadamu katika kufikiri.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo