Tanzania: Matokeo mapya ya kidato cha nne
31 Mei 2013Matangazo
Hatua hiyo inatokana na iliyoundwa na serikali ya kutaka kutumia mbinu ya awali ya usahihishaji badala ya iliyotumika kusahihisha matuko hayo ya awali kusema haikufanyiwa utafiti wa kina na maandalizi ya kutosha na hivyo kusababisha idadi kubwa ya wanafanuzi kutofaulu. Sudi Mnette amezungumza na Godfrey Boniventura ambae ni Meneja Programu wa Idara ya Utafiti na Uchambuzi wa Sera wa katika asasi ya Haki Elimu.
Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.