JamiiTanzania: Madereva wa bodaboda Mtwara waelimishwa kuhusu uendeshaji salamaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii15.05.202015 Mei 2020Jeshi la polisi kupitia kitengo cha usalama barabarani limeanzisha kampeni maalumu inayojulikana kama darasa kijiweni inayolenga kuwapatia elimu waendesha bodaboda ili kuepuka ajali zinazosababishwa na ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani.https://p.dw.com/p/3cHV1Matangazo