1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 30.05.2019

Sylvia Mwehozi
30 Mei 2019

Wabunge Israel waidhinisha bunge kuvunjwa na kuitisha uchaguzi mpya. Mchunguzi maalum wa Marekani Robert Mueller ametoa kauli inayoashiria kwamba ofisi yake ilishindwa kumfungulia mashitaka rais aliyeko madarakani. Pande zote Venezuela zashindwa kuafikiana katika mazungumzo ya Norway.

https://p.dw.com/p/3JUS2