Rais mteule wa marekani aushutumu utawala waTrump kwa kuzuia taarifa za usalama wa taifa. Takribani Vituo 800 vya kupiga kura nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati havikuendesha zoezi la kupiga kura. Na Urusi yampatia muda wa mwisho mwanasiasa wa upinzani Navalny kurejea nyumbani