Viongozi wa Afrika wameelezea Ukosefu wa usawa katika usambazaji wa chanjo za Covid-19 kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa. Kiongozi wa zamani wa Catalonia Puigdemont akamatwa Italia. Ufaransa na Marekani zajadili kurekebisha uhusiano wa nchi hizo mbili.