Rais wa Marekani Joe Biden asema hakuna shaka kwamba Afghanistan haitoingia mikononi mwa Taliban//Watu 2 raia wa Haiti na Marekani wakamatwa kuhusiana na mauaji ya Rais Jovenel Moise//Na Umoja wa Mataifa waunga mkono Umoja wa Afrika kupata suluhu la mzozo wa bwawa la Ethiopia.