1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

13 Aprili 2021

Polisi Minneapolis yasema Mmarekani mweusi aliyepigwa risasi na polisi ameuwawa kwa bahati mbaya //Maafisa wa magereza Urusi watishia kuanza kumlisha chakula Alexei Navalny kwa lazima//Na katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ataka matajiri kutozwa kodi ya mshikamano na serikali zao.

https://p.dw.com/p/3ruRd