Rais Donald Trump amchagua Robert O'Brien kuwa mkurugenzi mpya wa usalama wa kitaifa Marekani//Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu asisitiza kwamba atatafuta kuongoza serikali ya muungano ya nchi hiyo//Na Italia na Ufaransa wakubaliana ugawanyaji wa moja kwa moja wa wahamiaji katika nchi za Umoja wa Ulaya.