1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

18 Septemba 2019

Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu na mpinzani wake washindwa kupata idadi ya kutosha ya wabunge kuunda serikali//Meli ya uokoaji ya "Ocean Viking" yawaokoa watu 109 waliokwama baharini Libya//Na Borussia Dortmund wakosa fursa ya kuifunga Barcelona huku RB Leipzig ikipata ushindi katika Champions League.

https://p.dw.com/p/3PlFs