Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May atafakari kuongeza muda wa mpito wa Brexit kwa miezi kadhaa//Rais wa Marekani Rais Donald Trump asema huenda ikawa Jamal Khashoggi amefariki//Kura mpya ya maoni yaonyesha uungwaji mkono wa serikali ya muungano ya Ujerumani wapungua