Hotuba ya Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May mjini Brussels haikuzingatia mapendekezo ya Baraza la Umoja wa Ulaya kuhusu Brexit//Marekani yakanusha madai ya kuisaidia Saudi Arabia katika kuficha kifo cha mwandishi wa habari Jamal Khashoggi//Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria Staffan de Mistura kujiuzulu mwishoni mwa Novemba