Rais Mwai Kibaki alalamikiwa
20 Februari 2013Matangazo
Kutoka Kenya Sudi Mnette amezungumza na Anthony Mukaya ambae ni afisa tawala katika shirika linalojumuisha asasi za kiaraia zinazojihusha na masuala ya ardhi-National Land Alliance. kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Josephat Charo