Rais Kibaki azuia mswada wa wabunge kujipatia marupurupu
10 Oktoba 2012Matangazo
Uamuzi wa jana wa Kibaki ulifuatia kilio cha wananchi wakati nchi hiyo ikiwa imepandisha kodi zake kuziba pengo katika mahitaji yake ya fedha huku ikikabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi. Josephat Charo amekusanya maoni ya baadhi ya wakenya kuhusu uamuzi wa rais Kibaki.
(Kusikiliza maoni hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Josephat Charo
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman