Rais Kibaki asaini miswaada 30
15 Januari 2013Matangazo
Sudi Mnette wa DW amezungumza na Mchambuzi wa siasa nchini Kenya, Stanley Makeo, kuhusu hatua ya kusaini mikataba hiyo ambayo haijawahi kutokea tangu uhuru wa Kenya. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Josephat Charo