Saada Nassor msanii wa Taarabu aliyeunda bendi yake pamoja na wenzake wawili kuwakata kiu wapenda muziki mzuri wa taarabu na katika karibuni utamsikia akisimulia mengi juu ya safari yake ya muziki kutoka Zanzibar pamoja na panda shuka za kadhia zilizowahi kumfika kama msanii. Nahodha wa Karibuni ni Saumu Mwasimba