Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi wa Kenya ajiuzulu
2 Mei 2012Matangazo
Mudavadi amesema atawania wadhifa wa rais kupitia chama kipya cha United Democratic Front - UDF. Bw Mudavadi hata hivyo atasalia katika wadhifa wake wa Naibu Waziri Mkuu. Alfred Kiti anayo zaidi kutoka mjini Nairobi.
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Alfred Kiti (Nairobi )
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman