SiasaMwanamke aliyeteswa na mumewe Ivory CoastTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaGrace Kabogo17.09.201917 Septemba 2019Kutana na Alimatou Bamba, mwanamke kutoka Ivory Coast ambaye aliteswa na mumewe baada ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri wa miaka 13. Kwa sasa anaishi mjini Abidjan na anakusudia kupambana na ndoa za mapema.https://p.dw.com/p/3Pjl7Matangazo