Mwanahiti: zawadi ya unyago Uzaramoni
16 Mei 2012Matangazo
Uvaliwa shingoni na kuwekwa mchagoni. Wazaramo wanaamini kuwa Mwanahiti ana uwezo wa kumlinda binti mwanamwali wakati wa unyago na katika maisha ya ndoa. Huchongwa kutoka mti wa Mkongo, ambao ni mti mgumu sana hauwezi kuliwa na wadudu huku akiwekewa nakshi kadhaa kuweza kuonekana katika hali ya kutisha kwa yule anayemtazama.
Mwandishi: Adeladius Makwega
Mhariri: Miraji Othman
Makala: Utamaduni na Sanaa