Mvua kubwa zanyesha visiwani Comoro
27 Aprili 2012Matangazo
Pia visima vya kuhifadhia mafuta vimeingia maji na kusababisha uhaba wa mafuta na matatizo ya usafiri. Maafisa wanasema zaidi ya watu 11,000 wamepoteza takriban kila kitu .huku hali ikitajwa kuwa mbaya zaidi katika kisiwa kidogo cha Moheli ambako baadhi ya vijiji vimezungukwa na maji.
Mohamed Abdulrahman mezungumza na waziri wa ndani wa visiwa hivyo Ahmed Abdullah na kwanza anasimulia juu ya hali ilivyo wakati huu.
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mahojiano: Mohammed Abdul-Rahman/Waziri Ahmed Abdullah
Mhariri: Mohammed Khelef