Katika Sema Uvume Sylvia Mwehozi anakujulisha juu ya mtandao unaozidi kushika kasi miongoni mwa vijana wa TikTok, pili utaskia juu ya ongezeko la pengo la kijinsia katika ulimwengu wa matumizi ya intaneti na je wanaume huwa wanatafuta taarifa zipi kulinganisha na wanawake?