Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa ziarani Goma
19 Machi 2014Matangazo
Ziara yake hio ni kutathmini hatua zilizopigwa kufikia sasa, kufuatia mkataba wa amani katika kanda ya maziwa makuu,uliosainiwa mjini Addis ababa mwaka jana.
Mwandishi wetu John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Beni. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: John Kanyunyu
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman