1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mitandao ya kijamii na utoaji wa elimu ya jinsia

Dotto Bulendu10 Februari 2021

Katika makala ya Sema Uvume Dotto Bulendu anazungumzia mfumo wa kidigitali wa I-Shangazi, ambao umesheheni taarifa zote muhimu zitakazowasaidia watoto na jamii kwa ujumla juu ya elimu jinsia na namna ambavyo wanaweza kuepuka mimba za utotoni.

https://p.dw.com/p/3pA0S