Michezo-Mabondia
9 Desemba 2007Matangazo
MWISHOE:MABONDIA:
FLOYD Mayweather Jr, ametetea taji lake la wezani wa Welterweight la ubingwa wa dunia la shirika la WBC.Huko Las Vegas, alimdengua mapema alfajiri ya leo muingereza Ricky Hatton katika duru ya 10 kufuatia makonde ya mchanganyiko kutoka kulia na kushoto.Mara 2 Hatton aliporomoka chini.