Shirika la kwanza la msaada wa chakula nchini Ujerumani, Tafel, lilifunguliwa mjini Berlin miaka 30 iliyopita. Huko, watu wenye uhitaji wanaweza kupokea vyakula ambavyo vingetupwa. Kilichoanza kama wazo la hiari kimegeuka chombo cha kisiasa cha nchi nzima.