1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgombea Norbert Mao azungumzia mchakato mzima wa uchaguzi

Amina Mjahid
14 Januari 2021

Lilian Mtono amepata nafasi ya kuzungumza na mmoja wa wagombea urais kwenye uchaguzi mkuu nchini Uganda Norbert Mao, anayegombea kupitia chama cha Demokrasia ama DP. Kwanza anazungumzia mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kipindi cha kampeni.

https://p.dw.com/p/3nulx